Tuesday, August 9, 2011

Biashara Yako: Blogu Mpya kwa manufaa yako

Biashara-yako Blogspot!



Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nawakaribisheni rasmi katika blog hii ya biashara-yako. Nimeanzisha blog hii kwa lengo maalum la kuzungumzia biashara mbali mbali zinazomilikiwa na watu wa kada mbali mbali hapa nchini Tanzania.

Lengo kuu ni kuonyesha ubunifu na uwezo tofauti katika kuendesha biashara; ili kutoa changamoto kwa wafanyabiashara wa sasa na wale wanaotarajia kufanya biashara baadaye.

Maoni, mawazo, na ushauri wenu vitazingatiwa sana katika kuifanya blog hii iwasaidie walengwa ambao ni sisi wenyewe na wenzetu pia.

Karibuni sana tushirikiane katika kuijenga nchi yetu.

Andrea Muhozya
Dar es Salaam
August 10, 2011
 

No comments:

Post a Comment